WALI WA NAZI
________________
1.Tui la nazi jepesi
2.Tui zito
3.mchele
4.chumvi
5.samli /mafuta kidogo
MATAYARISHO
_______________
1.pima tui jepesi la nazi kiasi cha mchele unaopika
2.punguza kikombe nusu kwa akili ya tui zito
3.pika mchele kama unavopika kawaida
4.ukiwa karibu kukauka weka tui zito na samli/mafuta
5.wacha ukaue na funika ili uive pole pole.
6.Andaa kwa kitoweo upendacho!!!
Category
Show more
Comments - 29
Related videos for Mapishi ya wali wa Nazi/how to prepare rice in coconut milk/Swahili recipes: