@jumamkwanda80316 years agoUpo vizuri mheshimiwa naamini waziri mpango amekusikia. 1
@
@mohamedfogo88206 years agoKumbe uwaziri mtamu sana noma sana. 1
@
@francesbahati43966 years agoNakukubari sana jama yangu mungu yuko nawe.
@
@leornaldngaja97496 years agoWabunge wote wa ccm wangekua kama ww tungekuwa mbali sana.
@
@chrissynguby23326 years agoKweli vilaza wapoweng nimeona coment zenu.
@
@madukurumwanileles79096 years agoNakukubali sana mbunge wewe wape vidonge vyao hao wanafiki, kama ccm itashindwa wajiondoe mapema sio kukaa wana dhalilisha chama tu. 1
@
@aggreyandrew62496 years agoLusinde upo sabihi sana nakukubali sana kibajaji! Nape mnafki sana. 3
@
@angellalisa57396 years agoYani hawa watu kama wale wanafuz wangu waawali.
@
@casmirmakoye30176 years agoBado ana bifu la kuenguliwa kisha waliogombana wakaendelea kuwa maswahiba. 1
@
@yassinharuna44186 years agoChichim nnomaa wazee wa tfg kata funua. 1
@
@japhetmwamlenga70786 years agoKama vipi nape aondoke tumechoka na unafiki wake raisi ana haki ya kukuteuwa na kukubwaga asilete chuki zake kukizalisha chama. 3
@
@amanabdallah97456 years agoWasemaji wa ccm wa kwanza ni wabunge wa ccm.
@
@rahmahsaif63196 years agoSafi sana lusinde hujawai kukosea nakukumbusha kuna wawili wanaoitumia hiyo kauli bashe napekwakweli ss wapiga kura hao sio watu kabisa.
@
@stevenmsaaada.msaada.3896 years agoWanaokudharau kibajaji wakudharau tu. Lakini umeongea point mno. Nape asijifanye kuzijuwa sana takwimu zach ccm. Aache ushambenga wake. 2
@
@amanabdallah97456 years agoSerikali italipa watoa huduma wake na huku haina hela. Makusanyo ya mwezi ni kwaajili ya mishahara ya wafanyakazi na kuendesha shughuri za serkali.
@
@amanabdallah97456 years agoCcm inakwenda kufikia mwisho, hata kibajaji anlijua hilo itafikia kipindi ataona aibu mwenyewe.
@
@kassimloav24023 years agoVionhoz wetu waliopo mjengon kunawasalit na wakina yuda.
@
@floramgaza64016 years agoHivi huna point yako mpaka umkashifu nape? Mwaka huu ndo mwisho wako wa ubunge wananchi tuna macho.
@
@prosperndonjekwa51436 years agoWazazi wa wazazi wa kuingusha ccmchama cha pinduzi. 6
@
@stevenmakumburi54606 years agoNape ameongea ukweli coz yeye ndiye aliyebeba dhamana ya maendeleo katika Jimbo lake hivyo anakila sababu kuzungumza ya moyoni yupo juu
Related videos for KIBAJAJI Amvaa NAPE: ''Marufuku Kuizungumzia CCM:
noma sana. 1